Mtibwa Sugar

Mobby kuzikwa Shinyanga

Joel JJ By Joel JJ
β€’
6 Mar 2023
Mobby kuzikwa Shinyanga

Mwili wa aliyekuwa mchezaji wa timu ya Mtibwa Iddy Mfaume Mobby umesafirishwa leo kuelekea Ngokolo mjini Shinyanga kwa ajili ya mazishi

Beki huyo alifariki jana katika Hospitali ya Benjamini Mkapa mkoani Dodoma wakati akipatiwa matibabu

Daktari bingwa wa magonjwa ya mifupa na majeraha, kutoka Hospitali ya Benjamini Mkapa, Dk. Alfred Amede amesema walimpokea mchezaji huyo juzi saa 9 usiku akitokea Turiani mkoani Morogoro.

Amesema baada ya kumpokea walimfanyia vipimo na kumlaza na ilipofika jana saa 9 alasiri alifariki dunia

Mobby wakati wa uhai wake alizichezea timu mbalimbali za soka ikiwemo Ruvu Shooting, Geita Gold, Polisi Tanzania zote za ligi kuu

Katika nyakati tofauti pia alikuwa miongoni mwa mabeki wanaounda kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania, 'Taifa Stars'

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
8h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
9h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
9h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
13h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
16h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
17h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
17h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
18h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
19h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
19h ago
READ MORE β†’