Mkufunzi wa Arsenal Mikel Arteta alisifu bao la ushindi la Reiss Nelson katika dakika ya 97 dhidi ya Bournemouth kwenye Uwanja wa Emirates akiamini ushindi wa mabao 3-2 waliopata unapaswa kuwapa Arsenal imani zaidi ya kuweza kushinda taji la Ligi Kuu England
..... download Xtra 90 App



