Vipers Fc - Simba

Vipers Fc yamtimua kocha

Joel JJ By Joel JJ
9 Mar 2023
Vipers Fc yamtimua kocha

Baada ya kuchapwa na Simba katika mechi zote mbili za ligi ya mabingwa, klabu ya Vipers Fc leo imetangaza kumtimua Kocha wake Mkuu Beto Bianchi

Vipers Fc imefikia uamuzi wa kumfuta kazi Beto kutokana na mwendelezo wa matokeo mabaya tangu kocha huyo alipotangazwa kuchukua nafasi ya Robert Oliveira ambaye alijiunga na Simba.

Beto alitangazwa Januari 10, 2023 na katika majukumu yake amekiongoza kikosi cha Vipers kwenye jumla ya mechi saba (7) za mashindano tofauti.

Katika mechi saba (7) alizoiongoza Vipers Fc,  timu hiyo haijashinda mchezo wowote wala kufunga goli ndani ya dakika 90

More Stories

BREAKING: Tajiri wa Chelsea Boehly ang’atuka kwenye klabu
BREAKING: Tajiri wa Chelsea Boehly ang’atuka kwenye klabu
1h ago
READ MORE →
Ngorongoro Heroes yaweka malengo makubwa CECAFA U20
Ngorongoro Heroes yaweka malengo makubwa CECAFA U20
1h ago
READ MORE →
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa Uhuru
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa Uhuru
2h ago
READ MORE →
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
3h ago
READ MORE →
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
3h ago
READ MORE →
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
3h ago
READ MORE →
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa  Yanga SC “Your next: Yanga”
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa Yanga SC “Your next: Yanga”
3h ago
READ MORE →
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
5h ago
READ MORE →
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
15h ago
READ MORE →
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
15h ago
READ MORE →