Baada ya wiki iliyopita Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kumtangaza Adel Amrouche kuwa kocha mpya wa timu ya taifa ‘Taifa Stars’, beki wa zamani wa Simba na Sigara, Hamis Kondo amemshauri kocha huyo kuwapa nafasi katika timu ya Taifa wachezaji wanaofanya vizuri ligi za chini
..... download Xtra 90 App



