Arsenal

Arteta hana haraka kumtumia Jesus

Joel JJ By Joel JJ
β€’
10 Mar 2023
Arteta hana haraka kumtumia Jesus

Jana Arsenal ililazimishwa sare ya mabao 2-2 dhidi ya Sporting katika mchezo wa 16 bora ligi ya Europa

Pamoja na kucheza vizuri, Arsenal walionekana kuwa na changamoto kwenye eneo la umaliziaji. Mkufunzi wa Arsenal Mikel Arteta alibainisha kuwa kukosekana kwa baadhi ya washambuliaji wake ilikuwa changamoto

Arteta alieleza kuridhika na matokeo hayo ya ugenini akiamini timu yake inaweza kufanya vizuri zaidi katika mchezo watakaocheza nyumbani

Pamoja na kurejea mazoezini wiki hii, mshambuliaji Gabriel Jesus bado hajapata nafasi ya kuitumikia Arsenal

Wengi walitamani kumuona Jesus kwenye kikosi kwa ajili ya mechi yao ya kwanza ya Ligi ya Europa baada ya mshambuliaji huyo kurejea mazoezini lakini Arteta hana haraka akiamini bado kuna mechi za kutosha kwa ajili yake kuisaidia timu hiyo

Gabriel Martinelli alianza eneo la ushambuliaji wakati Jesus na Eddie Nketiah wakikosekana

Leandro Trossard pia alikosekana na hivyo Emile Smith Rowe kuwa mshambuliaji aliyebaki eneo la akiba

Arsenal walimiliki mpira muda mwingi ingawa Sporting walitengeneza nafasi za wazi zaidi

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
1h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
1h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
2h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
5h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
9h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
9h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
10h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
10h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
11h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
12h ago
READ MORE β†’