Wakiwa wamewasili salama mkoani Morogoro, Kocha Mkuu wa Simba, Roberto Oliviera ‘Robertinho’, amesema anatarajia kutumia mechi ya Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Mtibwa Sugar itakayochezwa kesho kama sehemu ya maandalizi ya kuwakabili Horoya AC kutoka Guinea
..... download Xtra 90 App



