Ruvu - Mbeya City

Ruvu Shooting yaichapa Mbeya City 2-1

Joel JJ By Joel JJ
β€’
10 Mar 2023
Ruvu Shooting yaichapa Mbeya City 2-1

Ruvu Shooting imefufua matumaini katika mapambano ya kubaki ligi kuu leo wakipata ushindi muhimu wa mabao 2-1 dhidi ya Mbeya City katika mchezo uliopigwa uwanja wa Sokoine mkoani Mbeya

Valentine Mashaka na Abdulrahman Mussa walifunga mabao ya Ruvu Shooting wakati bao pekee la Mbeya City lilifungwa na Sixtus Sabilo kupitia mkwaju wa penati

Ruvu Shooting wamesogea hadi nafasi ya 15 kwenye msimamo wa ligi baada ya kufikisha alama 20, alama moja zaidi ya Polisi Tanzania ambao wana mechi ya kiporo

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
1h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
2h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
2h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
6h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
9h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
10h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
10h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
11h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
12h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
12h ago
READ MORE β†’