Uongozi wa Timu ya KMC FC umetoa mapumziko ya siku 10 kwa wachezaji wake ambapo watapaswa kurejea kambini Machi 19 ili kujiandaa na michezo iliyobakia ya Ligi Kuu ya NBC Soka Tanzania Bara ambapo Aprili 17 itakipiga dhidi ya Geita Gold katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es salaam.
..... download Xtra 90 App



