Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' ambacho kitacheza mechi za kuwania kufuzu Afcon 2023 dhidi ya Uganda mchezo wa kwanza ukipigwa March 24
Miongoni mwa wachezaji waliojumuishwa kwenye kikosi hicho ni kiungo Feisal Salum 'Fei Toto' aliye kwenye mgogoro na waajiri wake klabu ya Yanga tangu mwezi Disemba 2022




