Kiungo mshambuliaji Feisal Salum 'Fei Toto', ni miongoni mwa wachezaji 31 walioitwa kwenye kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars kwa ajili ya kujiandaa na mechi mbili dhidi ya Uganda za kusaka nafasi ya kufuzu fainali za AFCON 2024 zitakazofanyika Januari hadi Februari mwakani
..... download Xtra 90 App



