Manchester City - Liverpool - Real Madrid - Napoli - Inter - Porto

Ligi ya Mabingwa Ulaya wiki hii

Joel JJ By Joel JJ
β€’
14 Mar 2023
Ligi ya Mabingwa Ulaya wiki hii

Mikiki mikiki ya kusaka nafasi ya kutinga robo fainali ya ligi ya mabingwa barani ulaya inaendelea leo kwa mechi mbili kupigwa

Manchester City ambao walilazimishwa sare ya bao 1-1 katikc mchezo wa kwanza dhidi ya RB Leipzig uliopigwa Ujerumani, leo wanahitaji kushinda nyumbani ili kutinga robo fainali

Kwa Kocha Pep Guardiola, michuano hii ina umuhimu mkubwa kwake kwani ndio michuano pekee ambayo hajaweza kushinda tangu atue Manchester City

Guardiola ana rekodi mbaya na ligi ya mabingwa kwani tangu alipotwaa taji hilo akiwa na Fc Barcelona mara mbili, hajawahi kushinda tena

Mechi nyingine ni kati ya Porto dhidi ya Inter Milan ambapo wenyeji Porto watahitaji kupindua matokeo ya kuchapwa bao 1-0 katika mchezo wa kwanza uliopigwa Italia

Kesho Napoli itachuana na Entracht Frankfurt, wababe hao wa Italia wakiwa mbele kwa mabao 2-0 na mcheo mwingine ni kati ya Real Madrid dhidi ya Liverpool

Madrid wako mbele kwa ushindi wa mabao 5-2 ugenini, wanahitaji matokeo yoyote isipokuwa kufungwa zaidi ya tofauti ya mabao matatu ili waweze kufuzu robo fainali

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
4h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
4h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
5h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
8h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
12h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
12h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
13h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
14h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
14h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
15h ago
READ MORE β†’