Erling Haaland alisawazisha rekodi ya Ligi ya Mabingwa kwa kufunga mabao matano na kuifanya Manchester City kutinga robo fainali mbele ya RB Leipzig kwa ushindi wa mabao 7-0 kwa mabingwa hao wa Uingereza na kupata ushindi wa jumla wa 8-1 Jumanne usiku
..... download Xtra 90 App



