Yanga

Mayele alipumzishwa kuwasubiri Monastir - Kamwe

Joel JJ By Joel JJ
15 Mar 2023
Mayele alipumzishwa kuwasubiri Monastir - Kamwe

Wakati Yanga ikiibamiza Geita Gold mabao 3-1 katika mchezo wa ligi kuu ya NBC uliopigwa uwanja wa Azam Complex, mshambuliaji kinara wa mabao katika kikosi cha Yanga Fiston Mayele hakuwa sehemu ya mchezo huo

Wengi walihoji kulikoni Mayele ambaye anawania ufungaji bora kwenye ligi kuu msimu huu akiwa na mabao 15, alikosekana hata katika orodha ya wachezaji wa akiba?

Afisa habari wa Yanga Ali Kamwe amesema Mayele alipata majeraha madogo katika mchezo dhidi ya Real Bamako na kwa ushauri wa madaktari wakipendekeza mchezaji huyo asitumike mchezo dhidi ya Geita Gold

"Mayele alipata majeraha katika mchezo dhidi ya Real Bamako, madaktari walishauri apate muda wa kupumzika ili aweze kupona vyema ndio maana hamkumuona kwenye mchezo dhidi ya Geita Gold. Tunafurahi anaendelea vyema na sasa anashiriki mazoezi ya timu. Tunaamini mpaka kufika Jumapili siku ya mchezo dhidi ya Monastir atakuwa fit," alisema Kamwe

Yanga inaendelea kujifua Avic Town kujiandaa na mchezo dhidi ya Real Bamako ambao Wananchi wanazihitaji alama zote tatu ili kutinga robo fainali michuano ya kombe la Shirikisho barani Afrika

More Stories

Wamebaki wababe wawili tu wasiofungika Ligi Kuu
Wamebaki wababe wawili tu wasiofungika Ligi Kuu
13h ago
READ MORE →
Afcon haiwezi kuondoka Tanzania, Kenya na Uganda : Motsepe
Afcon haiwezi kuondoka Tanzania, Kenya na Uganda : Motsepe
14h ago
READ MORE →
BREAKING: Tajiri wa Chelsea Boehly ang’atuka kwenye klabu
BREAKING: Tajiri wa Chelsea Boehly ang’atuka kwenye klabu
16h ago
READ MORE →
Ngorongoro Heroes yaweka malengo makubwa CECAFA U20
Ngorongoro Heroes yaweka malengo makubwa CECAFA U20
16h ago
READ MORE →
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa Uhuru
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa Uhuru
17h ago
READ MORE →
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
17h ago
READ MORE →
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
17h ago
READ MORE →
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
17h ago
READ MORE →
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa  Yanga SC “Your next: Yanga”
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa Yanga SC “Your next: Yanga”
18h ago
READ MORE →
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
20h ago
READ MORE →