Manchester City

Nimefuata Ligi ya Mabingwa Man City - Haaland

Joel JJ By Joel JJ
15 Mar 2023
Nimefuata Ligi ya Mabingwa Man City - Haaland

Mshambuliaji kinda wa Manchester City Erling Haaland ametamba kuwa alisajiliwa na timu hiyo ili kuwasaidia kushinda Ligi ya Mabingwa kwa sababu tayari wanajua jinsi ya kushinda Ligi ya Premia.

Haaland, 22, jana alifunga mabao matano katika ushindi wa 7-0 wa City dhidi ya RB Leipzig na kujihakikishia nafasi ya kufuzu kwa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa

Manchester City wanalisaka taji la kwanza mafanikio yao makubwa ikiwa ni kumaliza nafasi ya pili mwaka 2021 wakifungwa kwenye fainali na Chelsea Fc

"Bila shaka klabu inataka kushinda Ligi ya Mabingwa. Wameshinda mataji manne kati ya matano ya mwisho ya Ligi Kuu. Hawakunileta kushinda Ligi Kuu kwa sababu tayari wanajua jinsi ya kushinda"

"Kwa hivyo, unaweza kusoma niko hapa kujaribu kusaidia klabu kujiendeleza zaidi na kushinda Ligi ya Mabingwa kwa mara ya kwanza," alisema Haaland

Manchester City wameshinda mataji 17 tangu Sheikh Mansour achukue klabu hiyo mwaka 2008, yakiwemo mataji sita ya Ligi Kuu ya Uingereza, manne kati ya hayo yamepatikana baada ya Pep Guardiola kuteuliwa mwaka 2016.

More Stories

Wamebaki wababe wawili tu wasiofungika Ligi Kuu
Wamebaki wababe wawili tu wasiofungika Ligi Kuu
12h ago
READ MORE →
Afcon haiwezi kuondoka Tanzania, Kenya na Uganda : Motsepe
Afcon haiwezi kuondoka Tanzania, Kenya na Uganda : Motsepe
13h ago
READ MORE →
BREAKING: Tajiri wa Chelsea Boehly ang’atuka kwenye klabu
BREAKING: Tajiri wa Chelsea Boehly ang’atuka kwenye klabu
15h ago
READ MORE →
Ngorongoro Heroes yaweka malengo makubwa CECAFA U20
Ngorongoro Heroes yaweka malengo makubwa CECAFA U20
15h ago
READ MORE →
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa Uhuru
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa Uhuru
16h ago
READ MORE →
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
16h ago
READ MORE →
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
16h ago
READ MORE →
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
16h ago
READ MORE →
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa  Yanga SC “Your next: Yanga”
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa Yanga SC “Your next: Yanga”
17h ago
READ MORE →
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
19h ago
READ MORE →