Real Madrid - Chelsea - Napoli - Manchester City - Benica - Inter - AC Milan

Wababe nane waliotinga robo fainali UEFA

Joel JJ By Joel JJ
β€’
16 Mar 2023
Wababe nane waliotinga robo fainali UEFA

Real Madrid na Napoli jana zilizungana na timu nyingine sita kutinga robo fainali ya michuano ya ligi ya mabingwa barani Ulaya baada ya kushinda mechi zao

Mabingwa wa kihistoria wa michuano hiyo Real Madrid waliibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Liverpool ukiwa ni ushindi wa jumla wa mabao 6-2 katika mechi zote mbili

Napoli wameendelea kuwatishia vigogo barani Ulaya wakiibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Eintracht Frankfurt ukiwa ni ushindi wa jumla wa mabao 5-0

Timu hizo zimeungana na Chelsea Fc, Ac Milan, Inter Milan, Benfica, Manchester City na Bayern Munich katika hatua ya robo fainali

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
4h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
4h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
5h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
8h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
12h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
12h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
13h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
14h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
14h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
15h ago
READ MORE β†’