Kikosi cha Timu ya Soka ya Taifa (Taifa Stars), kitaondoka nchini kwa makundi kuelekea Misri kwa ajili ya kuweka kambi maalumu ya kujiandaa kuwakabili Uganda (Cranes), katika mechi ya kwanza ya kusaka tiketi ya kushiriki michuano ya Afrika (AFCON)
..... download Xtra 90 App



