Alvarez aongeza mkataba Manchester City

Joel JJ By Joel JJ β€’ 16th March 2023


Alvarez aongeza mkataba Manchester City

Klabu ya Manchester City imemuongeza mkataba mshambuliaji Muargentina Julian Alvarez hadi mwaka 2028

Kulingana na Mwanahabari Fabrizio Romano, makubaliano ya mkataba mpya yameafikiwa Alvarez akiridhia kuongeza mwaka mmoja zaidi katika mkataba waka wa awali

Nyota huyo pia atakuwa na ongezeko kubwa la Mshahara baada ya kiwango bora alichoonyesha kwenye michuano ya kombe la Dunia akiisaidia Argentina kushinda taji hilo

"Alvarez amefirahishwa na 'project' ya Manchester City, taarifa zaidi itatolewa na Manchester City wakati wowote," aliandika Fabrizio kwenye ukurasa wake wa mtandao wa kijamii


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.