Arsenal - Manchester United

Arsenal yapigwa kumbo Europa

Joel JJ By Joel JJ
β€’
17 Mar 2023
Arsenal yapigwa kumbo Europa

Usiku wa kuamkia leo Arsenal iliondoshwa kwenye ligi ya Europa kwa mikwaju ya penati 5-3 baada ya matokeo ya sare ya bao 1-1 katika mchezo uliopigwa kwa dakika 120

Changamoto ya mikwaju ya penati ilitumika kupata mshindi baada ya matokeo ya jumla kuwa 3-3. Timu hizo zilitoka 2-2 kwenye mchezo wa kwanza uliopigwa Ureno

Granit Xhaka aiitanguliza Arsenal mapema lakini shuti la mbali la Pedro Goncalves liliirejesha Sporting mchezoni na kulazimisha dakika 30 za muda wa ziada

Kocha Mkuu wa Arsenal Mikel Arteta alifanya mabadiliko makubwa ya kikosi chake akiwapa mapumziko wachezaji wake muhimu

Arsenal imeweka nguvu kubwa kwenye kuwania ubingwa wa ligi kuu ya Uingereza ambapo siku ya Jumapili watachuana na majirani zao kutoka jiji la London, Crystal Palace

Katika mechi nyingine Manchester United ilitinga robo fainali kwa ushindi wa jumla wa mabao 5-1 dhidi ya Real Betis

Man United walishinda 4-1 kwenye mchezo wa kwanza uliopigwa Uingereza

Timu nyingine zilizotinga robo fainali ni Fayenoord, Sevilla, Juventus, B Leverkusen, Roma na Union St Gilloise

More Stories

Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
27m ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
1h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
2h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
3h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
3h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
17h ago
READ MORE β†’
Clement Mzize arejea rasmi kikosini baada ya miezi sita nje kwa majeraha
Clement Mzize arejea rasmi kikosini baada ya miezi sita nje kwa majeraha
22h ago
READ MORE β†’