Tottenham

Conte kuondoka Spurs ni suala la muda

Joel JJ By Joel JJ
17 Mar 2023
Conte kuondoka Spurs ni suala la muda

Kuna uwezekano mkubwa Mkufunzi wa Tottenham Hotspurs Antonio Conte ataachana na timu hiyo mwishoni mwa msimu pale mkataba wake utakapomalizika

Wiki chache zilizopita Conte alirejea mapumzikoni Italia baada ya kufanyiwa upasuaji

Watu wa karibu na kocha huyo wamedokeza kuwa Conte alifurahia kuungana na familia yake wakibainisha kuwa hafurahii sana kuishi katika hoteli huko London.

Pia Conte hana uhusiano mzuri na Mwenyekiti wa Spurs Daniel Levy, ambaye tayari ameanza mchakato wa kutafuta mbadala wake.

Mauricio Pochettino na Thomas Tuchel wako juu ya orodha ya Spurs na, ingawa hali ya Conte bado inaweza kubadilishwa, kuna uwezekano mkubwa akaondoka.

More Stories

Wamebaki wababe wawili tu wasiofungika Ligi Kuu
Wamebaki wababe wawili tu wasiofungika Ligi Kuu
4h ago
READ MORE →
Afcon haiwezi kuondoka Tanzania, Kenya na Uganda : Motsepe
Afcon haiwezi kuondoka Tanzania, Kenya na Uganda : Motsepe
4h ago
READ MORE →
BREAKING: Tajiri wa Chelsea Boehly ang’atuka kwenye klabu
BREAKING: Tajiri wa Chelsea Boehly ang’atuka kwenye klabu
7h ago
READ MORE →
Ngorongoro Heroes yaweka malengo makubwa CECAFA U20
Ngorongoro Heroes yaweka malengo makubwa CECAFA U20
7h ago
READ MORE →
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa Uhuru
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa Uhuru
8h ago
READ MORE →
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
8h ago
READ MORE →
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
8h ago
READ MORE →
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
8h ago
READ MORE →
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa  Yanga SC “Your next: Yanga”
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa Yanga SC “Your next: Yanga”
9h ago
READ MORE →
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
10h ago
READ MORE →