Nyota wa Ghana Christian Atsu (31) aliyefariki kutokana na tetemeko la ardhi nchini Uturuki, amezikwa huko Ghana
Mazishi yake yamesimamiwa na Serikali na yakifanyika katika mji wa Accra
Mwili wa Atsu ulipatikana Februari 18 chini ya kifusi wiki mbili baada ya tetemeko kubwa la ardhi lililokumba nchi za Uturuki na Syria, February 06


