Nahodha Taifa Stars Mbwana Samatta anayekipiga KRC genk, winga Simon Msuva anayekipiga Al-Qadsiah FC ya Saudi Arabia pamoja na nyota wengine wanaocheza nje ya nchi walioitwa Taifa Stars wanatarajiwa kuungana na wenzao nchini Misri wakati timu hiyo itakapojiandaa kukabiliana na Uganda
..... download Xtra 90 App



