Mshambuliaji wa AC Milan, Zlatan Ibrahimovic amekuwa mfungaji mwenye umri mkubwa zaidi katika historia ya Ligi Kuu ya Italia ‘Serie A. Ibrahimovic, 41, alifunga bao la penalti katika mchezo wa ligi hiyo licha ya timu yake kupoteza mabao 3-1 dhidi ya Udinese jana.
..... download Xtra 90 App



