Yanga

Yanga yaichapa US Monastir 2-0

Joel JJ By Joel JJ
β€’
19 Mar 2023
Yanga yaichapa US Monastir 2-0

Yanga imetinga robo fainali ya michuano ya kombe la Shirikisho barani Afrika baada ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya US Monastir

Mabao ya Kennedy Musonda na Fiston Mayele yameihakikishia Yanga alama tatu muhimu ambazo sio tu zimewapeleka Wananchi robo fainali ya kombe la Shirikisho, Wananchi wamekaa kileleni mwa kundi D wakiwa na uwiano mzuri wa mabao kuliko Monastir

Ilikuwa mechi ambayo awali ilionekana kama ingekuwa ngumu kutokana na mazingira ya mvua kubwa kunyesha kwa saa kadhaa kabla ya mchezo

Hata hivyo wachezaji wa Yanga walipambana kuhakikisha wanautendea haki uwanja wa nyumbani na kuibuka na ushindi huo muhimu

Yanga imefikisha alama 10 ikiwa vinara wa kundi D sawa na Monastir

TP Mazembe wamepoteza mchezo dhidi ya Real Bamako kwa kuchapwa mabao 2-1 na hivyo kushushwa nafasi ya nne

Real Bamako wamepanda nafasi ya tatu wakiwa alama 5

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
5h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
5h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
5h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
9h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
12h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
13h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
13h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
14h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
15h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
16h ago
READ MORE β†’