Ratiba mechi za robo fainali ASFC

Joel JJ By Joel JJ β€’ 20th March 2023


Ratiba mechi za robo fainali ASFC

Mapema leo Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) liliweka hadharani ratiba ya mechi za robo fainali kombe la Shirikisho la Azam (ASFC)

Mechi za robo fainali zinataratiwa kupigwa mwanzoni mwa mwezi April 2023 kama ilivyoainishwa kwenye ratiba;


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.