Spurs wanataka pauni milioni 100 mbele kwa mshambuliaji wa Uingereza Harry Kane ikiwa watafikiria kumuuza mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 29 msimu wa joto wakati atakuwa amebakiza mwaka mmoja kwenye mkataba wake. (Times - subscription required)
..... download Xtra 90 App



