Transfer

Xavi amshawishi Messi arudi Barcelona

Joel JJ By Joel JJ
β€’
21 Mar 2023
Xavi amshawishi Messi arudi Barcelona

Kuna uwezekano mkubwa Lionel Messi akajiunga na Fc Barcelona mwishoni mwa msimu pale mkataba wake na PSG utakapomalizika

Licha ya sasa kuhusishwa na timu mbalimbali za Uarabuni na Marekani, ila taarifa za ndani kutoka Hispania na Argentina zinadai staa huyo wa klab ya PSG huenda akarejea tena Barcelona

Messi amekuwa na mawasiliano ya karibu na kocha wa Barcelona Xavi Hernandez, ambaye walicheza nae katika kikosi cha Barca kilichoshinda mataji mengi zaidi

Bado mpaka sasa Lionel Messi hajathibitisha kuwa ataendelea kusalia PSG ama atatimkia Uarabuni ama atarejea ndani ya klab ya Barcelona

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
32m ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
44m ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
1h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
4h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
8h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
8h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
9h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
10h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
10h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
11h ago
READ MORE β†’