Bao la mpira wa adhabu lililofungwa na Clatous Chama wa Simba kwenye mchezo wa ligi ya mabingwa dhidi ya Horoya Ac limechaguliwa kuwa goli bora la wiki
What a beauty!
β TotalEnergies CAFCL - TotalEnergies CAFCC (@CAFCLCC) March 22, 2023
The best of Clatous Chama's goals against Horaya AC had to be crowned with the #GoalOfTheWeek award for matchday 5#TotalEnergiesCAFCL pic.twitter.com/pPRur8SHGJ
Kwa upande wa mchezaji bora wa wiki, Mahmoud Kahraba ameshinda tuzo hiyo akipata kura asilimia 49 dhidi ya asilimia 43 alizopata Chama
Mpambanao ulikuwa mkali kwelikweli huko Twitter lakini ni wazi mashabiki wa Al Ahly walihamasishana dakika za majeruhi na kumuwezesha mchezaji wao kushinda
Klabu ya Simba imetoa wachezaji wanne katika kikosi cha wiki cha CAF, pia ikitoa goli bora la wiki
