Jumla ya tiketi 10,500 zimenunuliwa na wadau mbalimbali kwa ajili ya mashabiki kwenda kuisapoti timu ya Taifa ya Tanzania kwenye mchezo wa kusaka tiketi ya kufuzu Afcon 2023 dhidi ya Uganda ambao utapigwa Jumanne, March 28 katika uwanja wa Benjamin Mkapa
..... download Xtra 90 App



