Baada ya mapumziko ya siku tatu, kikosi cha Yanga kimerejea mazoezini leo kuanza maandalizi ya mchezo wa kombe la Shirikisho barani Afrika dhidi ya TP Mazembe. Mchezo huo utapigwa April 02 huko Lubumbashi katika uwanja wa TP Mazembe
..... download Xtra 90 App



