Ronaldo - Portugal

Ronaldo avunja rekodi ya mechi za Kimataifa

Joel JJ By Joel JJ
β€’
24 Mar 2023
Ronaldo avunja rekodi ya mechi za Kimataifa

Jana Cristiano Ronaldo aliweka rekodi ya Kimataifa ya mechi 197 kwa wanaume kwa kufunga mara mbili Ureno ilipoichapa Liechtenstein 4-0 katika mchezo wa kwanza wa kufuzu Euro 2024.

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 38 sasa amefunga mabao 120 ya kimataifa kwa rekodi ya wanaume.

Alianza mechi yake ya kimataifa mwaka 2003 na nchini Qatar mwaka jana akawa mchezaji wa kwanza kufunga katika michuano mitano ya Kombe la Dunia.

Ronaldo aliongeza idadi ya mabao yake kwa mkwaju wa penalti kipindi cha pili kabla ya kufunga tena kupitia mpira wa adhabu

Ronaldo alikuwa amelingana na fowadi wa Kuwait, Bader Al-Mutawa katika mechi 196 kwenye Kombe la Dunia lakini kulikuwa na maswali kuhusu mustakabali wake wa kimataifa baada ya Ureno kutolewa na Morocco katika hatua ya robo fainali.

Mshindi huyo mara tano wa tuzo ya Ballon d'Or alijikuta akiondolewa kwenye kikosi cha kwanza cha Ureno kwenye michuano hiyo lakini akaridhia kuchaguliwa kwake kuwa nahodha katika mchezo wa kwanza wa meneja mpya Roberto Martinez

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
6h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
6h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
7h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
10h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
14h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
14h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
15h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
16h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
16h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
17h ago
READ MORE β†’