Tanzania - Taifa Stars - Yanga - Simba - Azam

FT : Uganda 0-1 Tanzania

Joel JJ By Joel JJ
24 Mar 2023
FT : Uganda 0-1 Tanzania

Kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' kimeibuka kidedea kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Uganda katika mchezo wa kuwania kufuzu Afcon 2023

Bao pekee la Stars lilifungwa na Saimon Msuva kwenye dakika ya 68 akimalizia krosi murua kutoka kwa mlinzi wa kulia Dickson Job

Stars ilicheza kwa nidhamu kubwa katika mchezo huo ambao ulipigwa uwanja wa Suez Canal, huko Ismailia, Misri

Ushindi huo umeisogeza Tanzania mpaka nafasi ya pili kwenye msimamo wa kundi F baada ya kufikisha alama nne

Timu hizo zitarudiana tena katika mchezo utakaopigwa uwanja wa Benjamin Mkapa Jumanne, March 28

More Stories

Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa uhuru
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa uhuru
52m ago
READ MORE →
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
55m ago
READ MORE →
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
1h ago
READ MORE →
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
1h ago
READ MORE →
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa  Yanga SC “Your next: Yanga”
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa Yanga SC “Your next: Yanga”
1h ago
READ MORE →
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
3h ago
READ MORE →
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
13h ago
READ MORE →
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
13h ago
READ MORE →
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
14h ago
READ MORE →
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
17h ago
READ MORE →