Tanzania - Taifa Stars - Yanga - Simba - Azam

Stars vs Uganda kupigwa saa 2 usiku

Joel JJ By Joel JJ
β€’
27 Mar 2023
Stars vs Uganda kupigwa saa 2 usiku

Mchezo wa kuwania kufuzu michuano ya Afcon 2023 katika ya Tanzania dhidi ya Uganda utapigwa kesho Jumanne, March 28 katika uwanja wa Benjamin Mkapa

Muda wa mchezo huo umebadilishwa kutoka saa 1 na sasa manange huo utaunguruma kuanzia saa 2

Baada ya ushindi wa bao 1-0 kwa Tanzania kwenye mchezo kati ya timu hizo uliopigwa Misri juzi, Stars inahitaji ushindi mwingine ili kujiweka katika nafasi nzuri ya kufuzu kwa michuano ya Afcon 2023 ambayo itafanyika Ivory Coast baadae mwaka huu

More Stories

Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
32m ago
READ MORE β†’
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
10h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
11h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
11h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
14h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
18h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
18h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
19h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
20h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
20h ago
READ MORE β†’