Brazil - Real Madrid

Ancelotti atajwa Brazil

Joel JJ By Joel JJ
β€’
27 Mar 2023
Ancelotti atajwa Brazil

Jina la Kocha Mkuu wa Real Madrid, Carlo Ancelotti limeonekana kuwa kivutio kikubwa nchini Brazil

Ancelotti anakipigiwa chapuo arithi mikoba ya Adenor Leonardo Bacci maarufu Tite aliyejiuzulu baada ya michuano ya kombe la Dunia iliyofanyika Qatar

Rais wa Chama cha Soka Brazil (CBF) Ednaldo Rodriguez amesema Ancelotti anaweza kuwa chaguo sahihi kwa Brazil

Ednaldo amesema Ancelloti anapendwa na mashabiki na hata wachezaji wa Brazil aliowahi kuwafundisha wamempendekeza

"Popote ninapoenda ndani ya Brazil, Ancelotti ndilo jina la kwanza ambalo mashabiki huulizia. Tusubiri muda muafaka tutaona kama tunaweza kuifanikisha" alisema Ednaldo

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
4h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
4h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
5h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
8h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
12h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
12h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
13h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
14h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
14h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
15h ago
READ MORE β†’