Kocha Msaidizi wa timu ya soka ya Taifa ya Tanzania, Hemed Suleiman 'Morocco' amesema wamejianda kushinda mchezo wa marudiano wa kuwania kufuzu fainali za Afcon dhidi ya Uganda Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam siku ya kesho Jumanne
..... download Xtra 90 App



