Ruvu Shooting imekubali kipigo cha mabao 4-1 dhidi ya Mbeya Ciy katika mchezo wa kirafiki uliopigwa leo kwenye uwanja wa Sokoine jijini Mbeya wenye lengo la kuziweka timu katika hali ya ushindani wakati huu ligi ikiwa imesimama kupisha kalenda ya CAF
..... download Xtra 90 App



