Simba kuendelea na safari ya Morocco leo

Joel JJ By Joel JJ β€’ 29th March 2023


Simba kuendelea na safari ya Morocco leo

Kikosi cha Simba kitaondoka mkoani Kilimanjaro leo kuelekea Morocco kwa ajili ya mchezo wa ligi ya mabingwa dhidi ya Raja Casablanca ambao utapigwa usiku wa kuamkia Jumamosi, April 01 2023

Simba iliondoka jijini Dar es salaam jioni ya jana Jumanne na kutua uwanja wa ndege wa KIA, lakini ndege yao ikapata hitilafu hivyo safari kuahirishwa

Meneja wa Habari wa Mawasiliano klabu ya Simba Ahmed Ally amesema timu itaondoka Kilimanjaro asubuhi ya leo Jumatano


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.