Simba yawasili Morocco kuikabili Raja

Joel JJ By Joel JJ β€’ 30th March 2023


Simba yawasili Morocco kuikabili Raja

Msafara wa kikosi cha Simba umwesili salama nchini Morocco kuelekea mchezo wa ligi ya mabingwa dhidi ya Raja Casablanca

Mchezo huo utapigwa usiku wa kuamkia Jumamosi, April 1 saa 7 usiku

Baada ya kutua Morocco, Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba Ahmed Ally amesema kikosi kitakuwa na mpumziko na watafanya mazoezi yao ya mwisho majira ya usiku


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.