Msafara wa kikosi cha Simba umwesili salama nchini Morocco kuelekea mchezo wa ligi ya mabingwa dhidi ya Raja Casablanca
Mchezo huo utapigwa usiku wa kuamkia Jumamosi, April 1 saa 7 usiku
Baada ya kutua Morocco, Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba Ahmed Ally amesema kikosi kitakuwa na mpumziko na watafanya mazoezi yao ya mwisho majira ya usiku









