Yanga yaifuata TP Mazembe

Joel JJ By Joel JJ β€’ 30th March 2023


Yanga yaifuata TP Mazembe

Msafara wa kikosi cha Yanga umeondoka jijini Dar es salaam mapema leo kuelekea Lubumbashi DR Congo kwa ajili ya mchezo wa kombe la Shirikisho dhidi ya TP Mazembe

Mchezo huo utapigwa Jumapili, April 2 katika uwanja wa TP Mazembe. Wananchi wamekwenda Congo kusaka alama tatu ambazo zitawahakikishia kubaki kileleni mwa msimamo wa kundi D


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.