Singida - DTB - Mbeya

Singida BS tayari kuikabili Mbeya City FA Cup

Joel JJ By Joel JJ
β€’
30 Mar 2023
Singida BS tayari kuikabili Mbeya City FA Cup

Kikosi cha Singida Big Stars kimehitimisha kambi yake jijini Dodoma kwa ajili ya maandalizi ya mechi ya robo fainali ya Kombe la FA (ASFC), itakayochezwa Jumapili kwenye Uwanja wa Liti, mkoani Singida

Kocha Mkuu wa Singida Big Stars, Hans Van Pluijim, amesema kambi hiyo imewasaidia kuwajenga wachezaji wake na amepata nafasi ya kucheza mechi mbili za kirafiki.

"Tumekaa kambini kwa siku nane, nadhani sasa zinatosha kabisa kuivaa Mbeya City, tumecheza na mechi mbili za kirafiki ambazo zimetupa changamoto ya kutosha kuwarudisha wachezaji kwenye hali ya ushindani," alisema Pluijm.

Naye meneja wa timu hiyo, Nizar Khalfan, alisema waliitaji kujiimarisha kwa sababu watakutana na timu inayowapa ushindani kila wanapocheza.

"Tunawajua Mbeya City, siyo timu mbaya, tumecheza nao kwenye ligi, hatukuwa na mechi nyepesi nao, tunahitaji kusonga mbele ili tuchukue ubingwa wa FA, " alisema kiungo huyo wa zamani wa Yanga na Taifa Stars.

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
1h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
1h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
2h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
5h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
8h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
9h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
10h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
10h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
11h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
12h ago
READ MORE β†’