Mshambuliaji wa Manchester United Mason Greenwood hatarejea kunako klabu hiyo hadi msimu ujao, imeripotiwa. Greenwood(21) amesimamishwa na klabu yake tangu Januari 2022 aliposhtakiwa kwa mara ya kwanza kwa jaribio la kubaka na kushambulia
..... download Xtra 90 App



