Transfer

Tetesi za soka Ulaya, Jumamosi April 1 2023

Joel JJ By Joel JJ
β€’
1 Apr 2023
Tetesi za soka Ulaya, Jumamosi April 1 2023

Chelsea wameingia katika mbio za kuwania saini ya mshambuliaji wa Napoli na Nigeria Victor Osimhen, 24, msimu huu. (Evening Standard)

Chelsea pia wanajipanga kuwasilisha ombi la kumnunua beki wa kushoto wa Barcelona na Hispania Alejandro Balde, 19, kuchukua nafasi ya beki wao wa England Ben Chilwell, 26. (Sport).

Bayern Munich wana nia ya kumsajili mshambuliaji wa Chelsea Kai Havertz, 23, huku mchezaji huyo wa kimataifa wa Ujerumani akionyesha nia ya kuungana tena na meneja wake wa zamani Thomas Tuchel. (90Min)

Paris St-Germain wamemwambia Lionel Messi kwamba watalipa chochote kinachohitajika ili kumbakisha mshambuliaji huyo wa Argentina, 35, huku kukiwa na ripoti kwamba Barcelona wamewasiliana na Messi kuhusu uwezekano wa kurejea. (Mundo Deportivo)

Arsenal wanamtaka kiungo wa kati wa Real Madrid Aurelien Tchouameni kuboresha kikosi chao msimu wa joto, huku Liverpool pia ikidaiwa kumtaka Mfaransa huyo mwenye umri wa miaka 23. (El Nacional)

Kocha wa Liverpool Jurgen Klopp alisema klabu hiyo imekuwa na shughuli nyingi wakati wa mapumziko ya kimataifa ikipanga malengo ya msimu wa joto na iko tayari kutumia pesa nyingi katika soko la usajili. (Mirror)

Mshambulizi wa Chelsea Pierre-Emerick Aubameyang, 33, anataka kurejea Barcelona lakini The Blues hawataki kumuuza mshambuliaji huyo wa Gabon. (Sport)

Roma wanafikiria kumnunua mlinda mlango wa Manchester United David de Gea, huku Mhispania huyo mwenye umri wa miaka 32 mkataba wake ukikamilika msimu wa joto. (Fichajes)

Wachezaji wawili wa Crystal Palace na Ghana Jeffrey Schlupp, 30, na Jordan Ayew, 31, wametia saini kandarasi mpya huko Eagles. (Athletic)

BBC

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
48m ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
2h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
4h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
18h ago
READ MORE β†’