Robo fainali ya michuano ya Kombe la Shirikisho la Azam (ASFC) inaanza kutimua vumbi wikiendi hii, ambapo Singida Big Stars (SBS) inatarajiwa kuwakaribisha Mbeya City katika mchezo utakaochezwa kwenye Uwanja wa Liti, mkoani Singida kesho Jumapili
..... download Xtra 90 App



