Yanga

Yanga tayari kuikabili TP Mazembe

Joel JJ By Joel JJ
β€’
1 Apr 2023
Yanga tayari kuikabili TP Mazembe

Jana Yanga ilifanya mazoezi ya kwanza ndani ya Lubumbashi kuelekea mchezo wa kombe la Shirikisho dhidi ya TP Mazembe ambao utapigwa kesho Jumapili, saa 10 jioni

Yanga imepewa nafasi ya kutumia uwanja wa TP Mazembe kufanya mazoezi kwa siku mbili ambapo leo majira ya saa 9 Alasiri (saa 10 Tanzania) watakamilisha mazoezi ya mwisho

Meneja wa Yanga Walter Harrison amesema ari ya wachezaji iko juu kuelekea mchezo huo ambao wanahitaji kushinda ili kujihakikishia kumaliza kileleni mwa kundi D

Harrison amesema wachezaji Fiston Mayele na Stephane Aziz Ki wataungana na wenzao leo wakicheleweshwa na majukumu ya timu za Taifa

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
7h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
7h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
7h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
11h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
14h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
15h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
16h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
16h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
17h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
18h ago
READ MORE β†’