Klabu ya Simba imethibitisha wachezaji wake wawili Shomari Kapombe na Kibu Denis walipata majeraha kwenye mchezo wa ligi ya mabingwa dhidi ya Raja Casablanca ambao ulipigwa nchini Morocco usiku wa kuamkia Jumamosi na Raja kuibuka na ushindi wa mabao 3-1
..... download Xtra 90 App



