Napoli - Ac Milan - International

Napoli wapigwa kama ngoma Serie A

Joel JJ By Joel JJ
β€’
3 Apr 2023
Napoli wapigwa kama ngoma Serie A

Mabingwa watarajiwa wa Serie A Napoli jana walipata kichapo cha tatu msimu huu wakibomolewa mabao 4-0 na mabingwa watetezi AC Milan

Vijana wa Luciano Spalletti wanaendelea kuongoza ligi mbele ya Lazio walio nafasi ya pili kwa tofauti ya pointi 16, huku Milan wakipanda hadi nafasi ya tatu

Rafael Leao alifunga bao la kwanza na Brahim Diaz akaifungia Milan bao la pili. Leao akaweka la tatu kabla ya lexis Saelemaekers akafunga bao la nne

Timu hizo zitakutana tena katika robo fainali ya Ligi ya Mabingwa mwezi huu, tarehe 12 na 18 Aprili

Napoli, ambao wamekuwa bora msimu huu, sasa wamepoteza michezo miwili kati ya minne iliyopita ya Serie A, baada ya kuchapwa katika mechi moja kati ya 24 za kwanza

Lakini bado wanahitaji kushinda mechi tano kati ya 10 zilizosalia za ligi ili kujihakikishia ubingwa wa Serie A tangu 1990

Hiki kilikuwa kipigo chao kikubwa zaidi tangu kufungwa 5-1 na Atalanta mnamo 2007-08

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
32m ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
44m ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
1h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
4h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
8h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
8h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
9h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
10h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
10h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
11h ago
READ MORE β†’