Yanga - Local

Kipa Yanga katika kikosi bora cha wiki CAF

Joel JJ By Joel JJ
β€’
3 Apr 2023
Kipa Yanga katika kikosi bora cha wiki CAF

Mlinda lango wa Yanga Metacha Mnata amejumuishwa katika kikosi bora cha wiki michuano ya kombe la Shirikisho barani Afrika baada ya mechi za raundi ya sita

Metacha alikuwa langoni wakati Yanga ikichuana na TP Mazembe katika mchezo uliopigwa huko Lubumbashi jana

Metacha alichaguliwa kuwa nyota wa mchezo huo akihakikisha Wananchi wanaondoka na ushindi muhimu wa bao 1-0 uliowafanya wamalize kileleni mwa kundi D

Hiyo ilikuwa mechi yake ya kwanza kucheza katika michuano hiyo akichukua nafasi ya Djigui Diarra aliyekuwa akitumikia adhabu ya kadi mbili za njano

More Stories

Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
27m ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
1h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
2h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
3h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
3h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
17h ago
READ MORE β†’
Clement Mzize arejea rasmi kikosini baada ya miezi sita nje kwa majeraha
Clement Mzize arejea rasmi kikosini baada ya miezi sita nje kwa majeraha
22h ago
READ MORE β†’