Azam Fc imekuwa klabu ya pili kutinga nusu fainali kombe la FA baada ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Mtibwa Sugar katika mchezo wa robo fainali uliopigwa uwanja wa Azam Complex
..... download Xtra 90 App
Azam Fc imekuwa klabu ya pili kutinga nusu fainali kombe la FA baada ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Mtibwa Sugar katika mchezo wa robo fainali uliopigwa uwanja wa Azam Complex
..... download Xtra 90 App