Mudathir atajwa goli bora la makundi CAF CC

Joel JJ By Joel JJ β€’ 4th April 2023


Mudathir atajwa goli bora la makundi CAF CC

Goli alilofunga Mudathir Yahya wa Yanga kwenye mchezo wa kombe la Shirikisho dhidi ya TP Mazembe katika uwanja wa Benjamin Mkapa, liwania tuzo ya goli bora la hatua ya makundi kombe la Shirikisho barani Afrika

Zoezi la kupiga kura linaendelea katika ukurasa wa CAF kwenye mtandao wa Twitter


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.