Goli alilofunga Mudathir Yahya wa Yanga kwenye mchezo wa kombe la Shirikisho dhidi ya TP Mazembe katika uwanja wa Benjamin Mkapa, liwania tuzo ya goli bora la hatua ya makundi kombe la Shirikisho barani Afrika
Zoezi la kupiga kura linaendelea katika ukurasa wa CAF kwenye mtandao wa Twitter
Choose your best #TotalEnergiesCAFCC group-stage goal now!
β TotalEnergies CAFCL - TotalEnergies CAFCC (@CAFCLCC) April 4, 2023



