Fulham - International

Mitrovic afungiwa mechi nane

Joel JJ By Joel JJ
β€’
4 Apr 2023
Mitrovic afungiwa mechi nane

Aleksandar Mitrovic amefungiwa mechi nane baada ya kumsukuma mwamuzi Chris Kavanagh katika mechi ya Fulham ya robo fainali ya Kombe la FA dhidi ya Manchester United mnamo Machi 19.

Mitrovic alikuwa tayari kukabiliwa na adhabu ya kutocheza mechi tatu baada ya kupokea kadi nyekundu ya moja kwa moja kwa unyanyasaji baada ya kumwekea mikono Kavanagh, ambaye alikuwa ametoka kuwatoa nje fowadi wa Fulham Willian na kocha mkuu Marco Silva

Mshambulizi huyo wa Serbia alitumikia mechi ya kwanza ya kufungiwa kwake katika mechi ya Jumamosi waliyochapwa 2-1 na Bournemouth kwenye Ligi ya Premia

More Stories

Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
27m ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
1h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
2h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
3h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
3h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
17h ago
READ MORE β†’
Clement Mzize arejea rasmi kikosini baada ya miezi sita nje kwa majeraha
Clement Mzize arejea rasmi kikosini baada ya miezi sita nje kwa majeraha
22h ago
READ MORE β†’